Yeremia 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ee Yehova, nguvu zangu na ngome yangu,Kimbilio langu katika siku ya taabu,+Mataifa yatakuja kwako kutoka kwenye miisho ya dunia,Nayo yatasema: “Mababu zetu walirithi uwongo mtupu,Ubatili na vitu visivyofaa kitu ambavyo havina faida yoyote.”+
19 Ee Yehova, nguvu zangu na ngome yangu,Kimbilio langu katika siku ya taabu,+Mataifa yatakuja kwako kutoka kwenye miisho ya dunia,Nayo yatasema: “Mababu zetu walirithi uwongo mtupu,Ubatili na vitu visivyofaa kitu ambavyo havina faida yoyote.”+