Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+ Isaya 25:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana umekuwa ngome kwa mtu wa hali ya chini, ngome kwa maskini katika taabu aliyo nayo,+ kimbilio kutokana na dhoruba ya mvua, kivuli+ kutokana na joto, wakati mlipuko wa wenye kuonea ni kama dhoruba ya mvua juu ya ukuta. Yeremia 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Usiwe kwangu kitu chenye kuogopesha.+ Wewe ni kimbilio langu katika siku ya msiba.+ Nahumu 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni mwema,+ yeye ni ngome+ katika siku ya taabu.+ Naye hutambua wale wanaotafuta kimbilio kwake.+
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+
4 Kwa maana umekuwa ngome kwa mtu wa hali ya chini, ngome kwa maskini katika taabu aliyo nayo,+ kimbilio kutokana na dhoruba ya mvua, kivuli+ kutokana na joto, wakati mlipuko wa wenye kuonea ni kama dhoruba ya mvua juu ya ukuta.
7 Yehova ni mwema,+ yeye ni ngome+ katika siku ya taabu.+ Naye hutambua wale wanaotafuta kimbilio kwake.+