Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+ Zaburi 71:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uwe kwangu ngome ya mwamba ya kuingia ndani daima.+Utoe amri ili kuniokoa,+Kwa maana wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.+ Zaburi 91:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+Mimi nitamwokoa pia.+Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+
3 Uwe kwangu ngome ya mwamba ya kuingia ndani daima.+Utoe amri ili kuniokoa,+Kwa maana wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.+
14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+Mimi nitamwokoa pia.+Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+