Zaburi 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wale wanaolijua jina lako watakutegemea,+Kwa maana hakika hutawaacha wale wanaokutafuta, Ee Yehova.+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+ Yeremia 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Kwa hiyo, tazama, ninawafanya wajue; wakati huu mmoja nitawafanya waujue mkono wangu na nguvu zangu,+ nao watajua kwamba jina langu ni Yehova.”+ Yohana 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uzima wa milele+ ndio huu, waendelee kupata ujuzi+ juu yako wewe, Mungu wa pekee wa kweli,+ na juu ya yule uliyemtuma, Yesu Kristo.+
10 Na wale wanaolijua jina lako watakutegemea,+Kwa maana hakika hutawaacha wale wanaokutafuta, Ee Yehova.+
21 “Kwa hiyo, tazama, ninawafanya wajue; wakati huu mmoja nitawafanya waujue mkono wangu na nguvu zangu,+ nao watajua kwamba jina langu ni Yehova.”+
3 Uzima wa milele+ ndio huu, waendelee kupata ujuzi+ juu yako wewe, Mungu wa pekee wa kweli,+ na juu ya yule uliyemtuma, Yesu Kristo.+