Luka 10:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sasa, tazama! mtu fulani mwenye ujuzi mwingi wa Sheria+ akasimama, ili kumjaribu, akasema: “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+
25 Sasa, tazama! mtu fulani mwenye ujuzi mwingi wa Sheria+ akasimama, ili kumjaribu, akasema: “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+