Mathayo 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa, tazama! mtu fulani akamjia na kusema: “Mwalimu, nifanye wema gani ili niupate uzima wa milele?”+ Marko 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye alipokuwa akitoka aende, mtu fulani akamkimbilia akapiga magoti mbele yake na kumuuliza: “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+ Luka 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na mtawala fulani akamuuliza, akisema: “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+
16 Sasa, tazama! mtu fulani akamjia na kusema: “Mwalimu, nifanye wema gani ili niupate uzima wa milele?”+
17 Naye alipokuwa akitoka aende, mtu fulani akamkimbilia akapiga magoti mbele yake na kumuuliza: “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+
18 Na mtawala fulani akamuuliza, akisema: “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+