Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 19:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na kila mtu ambaye ameacha nyumba au ndugu au dada au baba au mama au watoto au mashamba kwa ajili ya jina langu atapokea mara nyingi zaidi naye atarithi uzima wa milele.+

  • Marko 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye alipokuwa akitoka aende, mtu fulani akamkimbilia akapiga magoti mbele yake na kumuuliza: “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+

  • Luka 10:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Sasa, tazama! mtu fulani mwenye ujuzi mwingi wa Sheria+ akasimama, ili kumjaribu, akasema: “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+

  • Luka 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mtawala fulani akamuuliza, akisema: “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki