29 Na kila mtu ambaye ameacha nyumba au ndugu au dada au baba au mama au watoto au mashamba kwa ajili ya jina langu atapokea mara nyingi zaidi naye atarithi uzima wa milele.+
17 Naye alipokuwa akitoka aende, mtu fulani akamkimbilia akapiga magoti mbele yake na kumuuliza: “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+