30 ambaye hatapata mara mia+ sasa katika kipindi hiki cha wakati, nyumba na ndugu na dada na mama na watoto na mashamba, pamoja na mateso,+ na katika mfumo wa mambo unaokuja uzima wa milele.
34 Kwa maana mliwasikitikia wale waliokuwa gerezani na pia kwa shangwe mkavumilia kuporwa+ mali zenu, mkijua ninyi wenyewe mna miliki bora na yenye kudumu.+