Mathayo 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kusema kwa uwongo kila namna ya jambo baya juu yenu kwa ajili yangu. Yohana 16:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo, ninyi pia, sasa, kwa kweli, mna huzuni; lakini nitawaona ninyi tena na mioyo yenu itashangilia,+ na hakuna mtu atakayeichukua shangwe yenu kutoka kwenu. Matendo 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 wakizitia nguvu nafsi za wanafunzi,+ wakiwatia moyo kubaki katika imani na kusema: “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+
11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kusema kwa uwongo kila namna ya jambo baya juu yenu kwa ajili yangu.
22 Kwa hiyo, ninyi pia, sasa, kwa kweli, mna huzuni; lakini nitawaona ninyi tena na mioyo yenu itashangilia,+ na hakuna mtu atakayeichukua shangwe yenu kutoka kwenu.
22 wakizitia nguvu nafsi za wanafunzi,+ wakiwatia moyo kubaki katika imani na kusema: “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+