Mathayo 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu;+ lakini yule atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+ Luka 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Wenye furaha ni ninyi wakati wowote ule watu wanapowachukia+ ninyi, na wakati wowote ule watu wanapowatenga ninyi na kuwashutumu na kulitupa nje+ jina lenu kuwa ovu kwa ajili ya Mwana wa binadamu. Yakobo 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Oneni yote kuwa shangwe, ndugu zangu, mnapokutana na majaribu ya namna mbalimbali,+ 1 Petro 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ikiwa mnashutumiwa kwa ajili ya jina la Kristo,+ ninyi ni wenye furaha,+ kwa sababu ile roho ya utukufu, yaani roho ya Mungu, inatulia juu yenu.+
22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu;+ lakini yule atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+
22 “Wenye furaha ni ninyi wakati wowote ule watu wanapowachukia+ ninyi, na wakati wowote ule watu wanapowatenga ninyi na kuwashutumu na kulitupa nje+ jina lenu kuwa ovu kwa ajili ya Mwana wa binadamu.
14 Ikiwa mnashutumiwa kwa ajili ya jina la Kristo,+ ninyi ni wenye furaha,+ kwa sababu ile roho ya utukufu, yaani roho ya Mungu, inatulia juu yenu.+