12 Mwenye furaha ni mtu anayeendelea kuvumilia jaribu,+ kwa sababu akiisha kukubaliwa atapokea taji la uzima,+ ambalo Yehova aliwaahidi wale wanaoendelea kumpenda.+
11 Tazama! Tunawatangaza kuwa wenye furaha wale ambao wamevumilia.+ Mmesikia juu ya uvumilivu wa Ayubu+ nanyi mmeona matokeo ambayo Yehova alileta,+ kwamba Yehova ni mwenye upendo mwororo sana na mwenye rehema.+