Kumbukumbu la Torati 33:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mtu aliyemwambia baba yake na mama yake, ‘Mimi sijamwona.’Hata ndugu zake hakuwatambua,+Na wanawe hakuwajua.Kwa maana walilishika neno lako,+Na agano lako waliendelea kulishika.+ Marko 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna mtu ambaye ameacha nyumba au ndugu au dada au mama au baba au watoto au mashamba kwa ajili yangu na kwa ajili ya habari njema+
9 Mtu aliyemwambia baba yake na mama yake, ‘Mimi sijamwona.’Hata ndugu zake hakuwatambua,+Na wanawe hakuwajua.Kwa maana walilishika neno lako,+Na agano lako waliendelea kulishika.+
29 Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna mtu ambaye ameacha nyumba au ndugu au dada au mama au baba au watoto au mashamba kwa ajili yangu na kwa ajili ya habari njema+