Mathayo 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa, tazama! mtu fulani akamjia na kusema: “Mwalimu, nifanye wema gani ili niupate uzima wa milele?”+ Marko 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye alipokuwa akitoka aende, mtu fulani akamkimbilia akapiga magoti mbele yake na kumuuliza: “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+ Luka 10:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sasa, tazama! mtu fulani mwenye ujuzi mwingi wa Sheria+ akasimama, ili kumjaribu, akasema: “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+
16 Sasa, tazama! mtu fulani akamjia na kusema: “Mwalimu, nifanye wema gani ili niupate uzima wa milele?”+
17 Naye alipokuwa akitoka aende, mtu fulani akamkimbilia akapiga magoti mbele yake na kumuuliza: “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+
25 Sasa, tazama! mtu fulani mwenye ujuzi mwingi wa Sheria+ akasimama, ili kumjaribu, akasema: “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+