Zaburi 46:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kwetu Mungu ni kimbilio na nguvu,+Msaada unaopatikana kwa utayari wakati wataabu.+ Zaburi 121:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova mwenyewe atakulinda na misiba yote.+Atailinda nafsi yako.+ Nahumu 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni mwema,+ yeye ni ngome+ katika siku ya taabu.+ Naye hutambua wale wanaotafuta kimbilio kwake.+ Sefania 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitaacha wabaki katikati yako watu wanyenyekevu na wa hali ya chini,+ nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.+
7 Yehova ni mwema,+ yeye ni ngome+ katika siku ya taabu.+ Naye hutambua wale wanaotafuta kimbilio kwake.+
12 Nami nitaacha wabaki katikati yako watu wanyenyekevu na wa hali ya chini,+ nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.+