Zaburi 34:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yehova anaikomboa nafsi ya watumishi wake;+Wala hakuna yeyote kati ya wale wanaomkimbilia atakayehesabiwa kuwa na hatia.+ Zaburi 41:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova mwenyewe atamlinda na kumhifadhi hai.+Atatangazwa kuwa mwenye furaha duniani;+Nawe huwezi kamwe kumtia mkononi mwa nafsi ya adui zake.+ Zaburi 97:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+ Zaburi 145:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova anawalinda wale wote wanaompenda,+Lakini atawaangamiza waovu wote.+
22 Yehova anaikomboa nafsi ya watumishi wake;+Wala hakuna yeyote kati ya wale wanaomkimbilia atakayehesabiwa kuwa na hatia.+
2 Yehova mwenyewe atamlinda na kumhifadhi hai.+Atatangazwa kuwa mwenye furaha duniani;+Nawe huwezi kamwe kumtia mkononi mwa nafsi ya adui zake.+
10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+