Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Yehova anaikomboa nafsi ya watumishi wake;+

      Wala hakuna yeyote kati ya wale wanaomkimbilia atakayehesabiwa kuwa na hatia.+

  • Zaburi 41:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova mwenyewe atamlinda na kumhifadhi hai.+

      Atatangazwa kuwa mwenye furaha duniani;+

      Nawe huwezi kamwe kumtia mkononi mwa nafsi ya adui zake.+

  • Zaburi 97:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+

      Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+

      Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+

  • Zaburi 145:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yehova anawalinda wale wote wanaompenda,+

      Lakini atawaangamiza waovu wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki