Zaburi 128:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 128 Mwenye furaha ni kila mtu anayemwogopa Yehova.+Anayetembea katika njia zake.+ Mathayo 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Wenye furaha ni wale walio na rehema,+ kwa kuwa wataonyeshwa rehema. Luka 1:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 kwa sababu ametazama hali ya chini ya kijakazi+ wake. Kwa maana, tazama! tangu sasa na kuendelea vizazi vyote vitanitangaza kuwa mwenye furaha;+
48 kwa sababu ametazama hali ya chini ya kijakazi+ wake. Kwa maana, tazama! tangu sasa na kuendelea vizazi vyote vitanitangaza kuwa mwenye furaha;+