Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 103:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini fadhili zenye upendo za Yehova ni za tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo+

      Kuwaelekea wale wanaomwogopa,+

      Na uadilifu wake kwa wana wa wana,+

  • Zaburi 112:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 112 Msifuni Yah!+

      א [ʼAʹleph]  

      Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+

      ב [Behth]

      Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+

  • Zaburi 115:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Atawabariki wale wanaomwogopa Yehova,+

      Wadogo kwa wakubwa.+

  • Zaburi 147:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova anawafurahia wale wanaomwogopa,+

      Wale wanaozingojea fadhili zake zenye upendo.+

  • Luka 1:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 kwa sababu ametazama hali ya chini ya kijakazi+ wake. Kwa maana, tazama! tangu sasa na kuendelea vizazi vyote vitanitangaza kuwa mwenye furaha;+

  • Waebrania 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Katika siku za mwili wake wenye nyama Kristo alitoa dua na pia maombi+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu+ na machozi, naye akasikiwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa+ Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki