-
Waebrania 5:7Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
7 Katika siku za mwili wake [Kristo] alitoa dua na pia maombi ya bidii kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye kupaazwa kwa nguvu na machozi, naye akasikiwa kwa kupendelewa kwa sababu ya hofu yake ya kimungu.
-