1 Wafalme 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na mfalme akaapa+ na kusema: “Kama Yehova anavyoishi+ aliyeikomboa+ nafsi+ yangu kutoka katika taabu zote,+ Zaburi 71:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Midomo yangu itapiga vigelegele kwa shangwe wakati wowote ninapokupigia muziki,+Naam, nafsi yangu, ambayo umeikomboa.+ Zaburi 103:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Anayeuokoa uhai wako kutoka katika shimo,+Anayekuvika taji la fadhili zenye upendo na rehema,+ Maombolezo 3:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Umechukua mashindano ya nafsi yangu, Ee Yehova.+ Umekomboa uhai wangu.+
29 Na mfalme akaapa+ na kusema: “Kama Yehova anavyoishi+ aliyeikomboa+ nafsi+ yangu kutoka katika taabu zote,+
23 Midomo yangu itapiga vigelegele kwa shangwe wakati wowote ninapokupigia muziki,+Naam, nafsi yangu, ambayo umeikomboa.+
4 Anayeuokoa uhai wako kutoka katika shimo,+Anayekuvika taji la fadhili zenye upendo na rehema,+ Maombolezo 3:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Umechukua mashindano ya nafsi yangu, Ee Yehova.+ Umekomboa uhai wangu.+