Zaburi 34:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yehova anaikomboa nafsi ya watumishi wake;+Wala hakuna yeyote kati ya wale wanaomkimbilia atakayehesabiwa kuwa na hatia.+ Zaburi 56:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana umeikomboa nafsi yangu na kifo+—Je, hukuikomboa miguu yangu isijikwae?+—Ili nipate kutembea mbele za Mungu katika nuru ya wale walio hai.+ Zaburi 69:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Njoo karibu na nafsi yangu, uiokoe;+Kwa sababu ya adui zangu, unikomboe.+
22 Yehova anaikomboa nafsi ya watumishi wake;+Wala hakuna yeyote kati ya wale wanaomkimbilia atakayehesabiwa kuwa na hatia.+
13 Kwa maana umeikomboa nafsi yangu na kifo+—Je, hukuikomboa miguu yangu isijikwae?+—Ili nipate kutembea mbele za Mungu katika nuru ya wale walio hai.+