Zaburi 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wale wanaolijua jina lako watakutegemea,+Kwa maana hakika hutawaacha wale wanaokutafuta, Ee Yehova.+ Zaburi 84:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+
10 Na wale wanaolijua jina lako watakutegemea,+Kwa maana hakika hutawaacha wale wanaokutafuta, Ee Yehova.+
11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+