Mwanzo 48:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Malaika ambaye amekuwa akiniponya katika misiba yote,+ awabariki wavulana hawa.+ Na jina langu liitwe juu yao na pia jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka,+Na waongezeke wawe wengi katikati ya dunia.”+ 2 Samweli 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata hivyo, Daudi akawajibu Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mbeerothi, na kuwaambia: “Kama Yehova anavyoishi,+ aliyeikomboa+ nafsi+ yangu kutoka katika kila taabu,+ Zaburi 103:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Anayeuokoa uhai wako kutoka katika shimo,+Anayekuvika taji la fadhili zenye upendo na rehema,+
16 Malaika ambaye amekuwa akiniponya katika misiba yote,+ awabariki wavulana hawa.+ Na jina langu liitwe juu yao na pia jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka,+Na waongezeke wawe wengi katikati ya dunia.”+
9 Hata hivyo, Daudi akawajibu Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mbeerothi, na kuwaambia: “Kama Yehova anavyoishi,+ aliyeikomboa+ nafsi+ yangu kutoka katika kila taabu,+