1 Wafalme 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na mfalme akaapa+ na kusema: “Kama Yehova anavyoishi+ aliyeikomboa+ nafsi+ yangu kutoka katika taabu zote,+ Zaburi 34:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Malaika wa Yehova anapiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa,+Na yeye huwaokoa.+
29 Na mfalme akaapa+ na kusema: “Kama Yehova anavyoishi+ aliyeikomboa+ nafsi+ yangu kutoka katika taabu zote,+