Zaburi 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wangu+Na yawe yenye kupendeza mbele zako, Ee Yehova Mwamba+ wangu na Mkombozi wangu.+ Zaburi 31:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naikabidhi roho yangu mkononi mwako.+Umenikomboa,+ Ee Yehova Mungu wa ukweli.+ Zaburi 103:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Anayeuokoa uhai wako kutoka katika shimo,+Anayekuvika taji la fadhili zenye upendo na rehema,+
14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wangu+Na yawe yenye kupendeza mbele zako, Ee Yehova Mwamba+ wangu na Mkombozi wangu.+