35 Na ikawa kwamba usiku huo malaika wa Yehova alitoka, akapiga na kuwaua watu 185,000 katika kambi+ ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, tazama, wote walikuwa mizoga iliyokufa.+
22 Mungu wangu mwenyewe+ alimtuma malaika+ wake na kufunga vinywa vya simba,+ nao hawakuniangamiza, kwa kuwa nimeonekana kuwa mtu asiye na hatia mbele zake;+ na pia mbele yako, Ee mfalme, mimi sijafanya tendo lolote lenye kudhuru.”+