Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 32:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Yehova akamtuma malaika+ na kumfutilia mbali kila shujaa, mwanamume mwenye nguvu,+ na kiongozi na mkuu katika kambi ya mfalme wa Ashuru,+ hivi kwamba akarudi katika nchi yake akiwa na haya usoni. Baadaye akaingia katika nyumba ya mungu wake na humo watu fulani waliotoka katika viuno vyake mwenyewe wakamwangusha kwa upanga.+

  • Isaya 31:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Mwashuru ataanguka kwa upanga, si ule wa mwanadamu; na upanga, si ule wa mtu wa udongo, utamla.+ Naye atakimbia kwa sababu ya upanga, na wanaume wake vijana watafanyishwa kazi ya kulazimishwa.

  • Isaya 37:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Na malaika+ wa Yehova alitoka, akapiga na kuwaua watu 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, tazama, wote walikuwa mizoga iliyokufa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki