Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Elisha akaanza kusali+ na kusema: “Ee Yehova, tafadhali fungua macho yake,+ ili aone.” Mara moja Yehova akafungua macho ya yule mtumishi, hivi kwamba akaona; na, tazama! lile eneo lenye milima lilikuwa limejaa farasi na magari ya vita+ ya moto kumzunguka Elisha pande zote.+

  • Zaburi 91:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana atawaamuru malaika zake kukuhusu wewe,+

      Ili kukulinda katika njia zako zote.+

  • Mathayo 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Angalieni msimdharau mmoja wa hawa wadogo; kwa maana ninawaambia ninyi kwamba malaika zao+ mbinguni sikuzote huuona uso wa Baba yangu aliye mbinguni.+

  • Matendo 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini wakati wa usiku malaika+ wa Yehova akaifungua milango ya gereza,+ akawatoa nje na kusema:

  • Matendo 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Petro akarudiwa na fahamu, akasema: “Sasa ninajua hakika kwamba Yehova alimtuma+ malaika wake na kunikomboa+ kutoka mkononi mwa Herode na kutoka katika yote ambayo Wayahudi wote walikuwa wakitarajia.”

  • Waebrania 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Je, wao wote si roho+ kwa ajili ya utumishi wa watu wote,+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi+ wokovu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki