Kutoka 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Tazama, ninamtuma malaika+ mbele yako ili akuongoze barabarani na kukuingiza mahali ambapo nimetayarisha.+ Kutoka 32:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na sasa, njoo, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia juu yake. Tazama! Malaika wangu ataenda mbele yako,+ na siku ile nitakayoleta adhabu hakika mimi nitaleta adhabu juu yao kwa sababu ya dhambi yao.”+ Waebrania 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, wao wote si roho+ kwa ajili ya utumishi wa watu wote,+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi+ wokovu?
20 “Tazama, ninamtuma malaika+ mbele yako ili akuongoze barabarani na kukuingiza mahali ambapo nimetayarisha.+
34 Na sasa, njoo, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia juu yake. Tazama! Malaika wangu ataenda mbele yako,+ na siku ile nitakayoleta adhabu hakika mimi nitaleta adhabu juu yao kwa sababu ya dhambi yao.”+
14 Je, wao wote si roho+ kwa ajili ya utumishi wa watu wote,+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi+ wokovu?