Zaburi 104:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Anayewafanya malaika zake kuwa roho,+Na wahudumu wake kuwa moto unaoteketeza.+ Matendo 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana Masadukayo+ husema hakuna ufufuo+ wala malaika wala roho, lakini Mafarisayo huyatangaza yote hadharani.
8 Kwa maana Masadukayo+ husema hakuna ufufuo+ wala malaika wala roho, lakini Mafarisayo huyatangaza yote hadharani.