14 ‘Maana, siku yangu ya kutoza hesabu+ kwa sababu ya maasi ya Israeli juu yake, mimi nitazitoza hesabu pia madhabahu za Betheli;+ na pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali na kuanguka chini.+
5 Lakini kulingana na ugumu+ wako na moyo wako usiotubu+ unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu+ katika siku ya ghadhabu+ na ya kufunuliwa+ kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+