Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 hata alibomoa madhabahu+ na miti mitakatifu,+ na sanamu za kuchongwa+ akaziponda na kuzifanya kuwa mavumbi;+ na vinara vyote vya uvumba+ akavikata katika nchi yote ya Israeli, kisha akarudi Yerusalemu.

  • Hosea 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Moyo wao umekuwa na unafiki;+ sasa watapatikana na hatia.

      “Kuna yule atakayevunja madhabahu zao; atapora nguzo zao.+

  • Mika 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nitalifanya Samaria kuwa rundo la mabomoko ya shambani,+ mahali pa kupanda mizabibu; nami nitamwaga mawe yake katika bonde, na misingi yake nitaifunua.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki