19 Na kuhusu sala+ yake na jinsi ombi+ lake lilivyojibiwa na dhambi+ yake yote na ukosefu wake wa uaminifu+ na vile vituo, mahali ambapo alijenga mahali pa juu+ na kusimamisha miti mitakatifu+ na sanamu za kuchongwa+ kabla ya kujinyenyekeza,+ tazama, yameandikwa kati ya maneno ya waonaji wake.