2 Wafalme 17:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa hiyo mataifa hayo yakamwogopa Yehova,+ lakini yalikuwa pia yakiabudu sanamu zao za kuchongwa. Wana wao na wajukuu wao wamekuwa wakitenda kama mababu zao mpaka leo hii. 2 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:41 Mnara wa Mlinzi,12/1/1990, uku. 3
41 Kwa hiyo mataifa hayo yakamwogopa Yehova,+ lakini yalikuwa pia yakiabudu sanamu zao za kuchongwa. Wana wao na wajukuu wao wamekuwa wakitenda kama mababu zao mpaka leo hii.