2 Wafalme 17:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Na hayo mataifa yakawa yakimwogopa Yehova,+ lakini yakazitumikia sanamu zao za kuchongwa. Na wana wao pamoja na wajukuu wao, wanatenda mpaka leo hii kama tu mababu zao walivyotenda. 2 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:41 Mnara wa Mlinzi,12/1/1990, uku. 3
41 Na hayo mataifa yakawa yakimwogopa Yehova,+ lakini yakazitumikia sanamu zao za kuchongwa. Na wana wao pamoja na wajukuu wao, wanatenda mpaka leo hii kama tu mababu zao walivyotenda.