Ezekieli 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitaubomoa ukuta ambao ninyi mmeupiga lipu kwa chokaa na kuuangusha chini, nao msingi wake utafunuliwa.+ Naye hakika ataanguka, nanyi mtafikia mwisho katikati yake; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+ Mathayo 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akajibu, akawaambia: “Je, hamvioni vitu vyote hivi? Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe nalo lisiangushwe chini.”+
14 Nami nitaubomoa ukuta ambao ninyi mmeupiga lipu kwa chokaa na kuuangusha chini, nao msingi wake utafunuliwa.+ Naye hakika ataanguka, nanyi mtafikia mwisho katikati yake; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+
2 Akajibu, akawaambia: “Je, hamvioni vitu vyote hivi? Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe nalo lisiangushwe chini.”+