Mika 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nitalifanya Samaria kuwa rundo la mabomoko ya shambani,+ mahali pa kupanda mizabibu; nami nitamwaga mawe yake katika bonde, na misingi yake nitaifunua.+ Mathayo 7:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na mvua ikanyesha na mafuriko yakaja na pepo zikavuma na kuigonga nyumba hiyo,+ nayo ikaporomoka, na anguko lake lilikuwa kubwa.”+
6 Nami nitalifanya Samaria kuwa rundo la mabomoko ya shambani,+ mahali pa kupanda mizabibu; nami nitamwaga mawe yake katika bonde, na misingi yake nitaifunua.+
27 Na mvua ikanyesha na mafuriko yakaja na pepo zikavuma na kuigonga nyumba hiyo,+ nayo ikaporomoka, na anguko lake lilikuwa kubwa.”+