21 Kisha Eliya akawakaribia watu wote na kusema: “Mtayumba-yumba juu ya maoni mawili tofauti mpaka wakati gani?+ Ikiwa Yehova ndiye Mungu wa kweli, mfuateni yeye;+ lakini ikiwa ni Baali, mfuateni yeye.” Na watu hawakumjibu neno lolote.
5 na wale wanaoliinamia jeshi la mbinguni+ juu ya madari, na wale wanaoinama,+ wakifanya viapo rasmi kwa Yehova+ na kufanya viapo rasmi kupitia kwa Malkamu;+