Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kisha Eliya akawakaribia watu wote na kusema: “Mtayumba-yumba juu ya maoni mawili tofauti mpaka wakati gani?+ Ikiwa Yehova ndiye Mungu wa kweli, mfuateni yeye;+ lakini ikiwa ni Baali, mfuateni yeye.” Na watu hawakumjibu neno lolote.

  • 2 Wafalme 17:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Wakawa wakimwogopa Yehova,+ lakini wakaiabudu miungu yao wenyewe,+ kulingana na dini ya yale mataifa ambayo kutoka katikati yao waliwapeleka uhamishoni.+

  • Mathayo 6:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Hakuna anayeweza kuwatumikia mabwana wawili; kwa maana ama atamchukia mmoja na kumpenda yule mwingine,+ ama atashikamana na mmoja na kumdharau yule mwingine. Hamwezi kutumikia Mungu na Utajiri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki