41 Na hayo mataifa yakawa yakimwogopa Yehova,+ lakini yakazitumikia sanamu zao za kuchongwa. Na wana wao pamoja na wajukuu wao, wanatenda mpaka leo hii kama tu mababu zao walivyotenda.
11 Je, taifa limebadili miungu,+ kwa ajili ya ile ambayo si miungu?+ Lakini watu wangu mwenyewe wameubadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu ambacho hakiwezi kuleta faida yoyote.+
14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+