22 ile madhabahu ya mbao ilikuwa na kimo cha mikono mitatu, nao urefu wake ulikuwa mikono miwili, nayo ilikuwa na miimo yake ya pembeni.+ Nao urefu wake na kuta zake zilikuwa za mbao. Naye akaniambia: “Hii ndiyo meza iliyo mbele za Yehova.”+
12 “Lakini ninyi mnanitia unajisi+ kwa kusema, ‘Meza ya Yehova ni kitu kilichotiwa unajisi, na matunda ya meza hiyo, yaani, chakula cha meza hiyo, ni kitu cha kudharauliwa.’+