Ezekieli 41:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 madhabahu ya mbao+ iliyokuwa na kimo cha mikono mitatu, na urefu wa mikono miwili. Ilikuwa na nguzo za pembeni, na sehemu yake ya chini* na kuta zake zilitengenezwa kwa mbao. Kisha akaniambia: “Hii ndiyo meza iliyo mbele za Yehova.”+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 41:22 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, kur. 26-27
22 madhabahu ya mbao+ iliyokuwa na kimo cha mikono mitatu, na urefu wa mikono miwili. Ilikuwa na nguzo za pembeni, na sehemu yake ya chini* na kuta zake zilitengenezwa kwa mbao. Kisha akaniambia: “Hii ndiyo meza iliyo mbele za Yehova.”+