Ezekieli 44:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ‘Hao ndio watakaoingia mahali pangu patakatifu, nao wataikaribia meza yangu ili kunihudumia,+ nao watatimiza majukumu yangu.+ Malaki 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Kwa kutoa chakula kilichochafuliwa* juu ya madhabahu yangu.’ “‘Nanyi mnauliza: “Tumekuchafua jinsi gani?”’ “‘Kwa kusema: “Meza ya Yehova+ ni kitu cha kudharauliwa.”
16 ‘Hao ndio watakaoingia mahali pangu patakatifu, nao wataikaribia meza yangu ili kunihudumia,+ nao watatimiza majukumu yangu.+
7 “‘Kwa kutoa chakula kilichochafuliwa* juu ya madhabahu yangu.’ “‘Nanyi mnauliza: “Tumekuchafua jinsi gani?”’ “‘Kwa kusema: “Meza ya Yehova+ ni kitu cha kudharauliwa.”