Ezekieli 41:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 ile madhabahu ya mbao ilikuwa na kimo cha mikono mitatu, nao urefu wake ulikuwa mikono miwili, nayo ilikuwa na miimo yake ya pembeni.+ Nao urefu wake na kuta zake zilikuwa za mbao. Naye akaniambia: “Hii ndiyo meza iliyo mbele za Yehova.”+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 41:22 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, kur. 26-27
22 ile madhabahu ya mbao ilikuwa na kimo cha mikono mitatu, nao urefu wake ulikuwa mikono miwili, nayo ilikuwa na miimo yake ya pembeni.+ Nao urefu wake na kuta zake zilikuwa za mbao. Naye akaniambia: “Hii ndiyo meza iliyo mbele za Yehova.”+