48 Na Sulemani mwishowe akavitengeneza vyombo vyote vya nyumba ya Yehova, madhabahu+ ya dhahabu na meza+ ambayo mkate wa wonyesho ulikuwa juu yake, ya dhahabu,
19 Na Sulemani akatengeneza vyombo+ vyote vilivyokuwa katika nyumba ya Mungu wa kweli na ile madhabahu ya dhahabu+ na zile meza+ zenye ule mkate wa wonyesho juu yake,
3 Na malaika mwingine akafika na kusimama kwenye madhabahu,+ akiwa na chombo cha uvumba cha dhahabu; naye akapewa kiasi kikubwa cha uvumba+ ili autoe pamoja na sala za watakatifu wote juu ya madhabahu ya dhahabu ambayo ilikuwa mbele ya kile kiti cha ufalme.