Kutoka 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Naye akafanya meza ya mbao za mshita.+ Mikono miwili urefu wake, na mkono mmoja upana wake, na mkono mmoja na nusu kimo chake.+ 2 Mambo ya Nyakati 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Sulemani akatengeneza vyombo+ vyote vilivyokuwa katika nyumba ya Mungu wa kweli na ile madhabahu ya dhahabu+ na zile meza+ zenye ule mkate wa wonyesho juu yake,
10 Naye akafanya meza ya mbao za mshita.+ Mikono miwili urefu wake, na mkono mmoja upana wake, na mkono mmoja na nusu kimo chake.+
19 Na Sulemani akatengeneza vyombo+ vyote vilivyokuwa katika nyumba ya Mungu wa kweli na ile madhabahu ya dhahabu+ na zile meza+ zenye ule mkate wa wonyesho juu yake,