Ezekieli 44:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ‘Hao ndio watakaoingia katika patakatifu pangu,+ na wao wenyewe wataikaribia meza yangu ili kunihudumia,+ nao watauangalia wajibu wangu.+ Malaki 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “ ‘Kwa kutoa juu ya madhabahu yangu mkate uliotiwa unajisi.’+ “ ‘Nanyi mmesema: “Tumekutia unajisi kwa njia gani?” ’ “ ‘Kwa kusema: “Meza+ ya Yehova ni kitu cha kudharauliwa.”+
16 ‘Hao ndio watakaoingia katika patakatifu pangu,+ na wao wenyewe wataikaribia meza yangu ili kunihudumia,+ nao watauangalia wajibu wangu.+
7 “ ‘Kwa kutoa juu ya madhabahu yangu mkate uliotiwa unajisi.’+ “ ‘Nanyi mmesema: “Tumekutia unajisi kwa njia gani?” ’ “ ‘Kwa kusema: “Meza+ ya Yehova ni kitu cha kudharauliwa.”+