Ezekieli 41:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 ile madhabahu ya mbao ilikuwa na kimo cha mikono mitatu, nao urefu wake ulikuwa mikono miwili, nayo ilikuwa na miimo yake ya pembeni.+ Nao urefu wake na kuta zake zilikuwa za mbao. Naye akaniambia: “Hii ndiyo meza iliyo mbele za Yehova.”+ Malaki 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “ ‘Kwa kutoa juu ya madhabahu yangu mkate uliotiwa unajisi.’+ “ ‘Nanyi mmesema: “Tumekutia unajisi kwa njia gani?” ’ “ ‘Kwa kusema: “Meza+ ya Yehova ni kitu cha kudharauliwa.”+
22 ile madhabahu ya mbao ilikuwa na kimo cha mikono mitatu, nao urefu wake ulikuwa mikono miwili, nayo ilikuwa na miimo yake ya pembeni.+ Nao urefu wake na kuta zake zilikuwa za mbao. Naye akaniambia: “Hii ndiyo meza iliyo mbele za Yehova.”+
7 “ ‘Kwa kutoa juu ya madhabahu yangu mkate uliotiwa unajisi.’+ “ ‘Nanyi mmesema: “Tumekutia unajisi kwa njia gani?” ’ “ ‘Kwa kusema: “Meza+ ya Yehova ni kitu cha kudharauliwa.”+