Ezekieli 41:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 ile madhabahu ya mbao ilikuwa na kimo cha mikono mitatu, nao urefu wake ulikuwa mikono miwili, nayo ilikuwa na miimo yake ya pembeni.+ Nao urefu wake na kuta zake zilikuwa za mbao. Naye akaniambia: “Hii ndiyo meza iliyo mbele za Yehova.”+ 1 Wakorintho 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hamwezi kuwa mkinywa kikombe cha Yehova+ na kikombe cha roho waovu; hamwezi kuwa mkishiriki “meza ya Yehova”+ na meza ya roho waovu.
22 ile madhabahu ya mbao ilikuwa na kimo cha mikono mitatu, nao urefu wake ulikuwa mikono miwili, nayo ilikuwa na miimo yake ya pembeni.+ Nao urefu wake na kuta zake zilikuwa za mbao. Naye akaniambia: “Hii ndiyo meza iliyo mbele za Yehova.”+
21 Hamwezi kuwa mkinywa kikombe cha Yehova+ na kikombe cha roho waovu; hamwezi kuwa mkishiriki “meza ya Yehova”+ na meza ya roho waovu.