41 Na hayo mataifa yakawa yakimwogopa Yehova,+ lakini yakazitumikia sanamu zao za kuchongwa. Na wana wao pamoja na wajukuu wao, wanatenda mpaka leo hii kama tu mababu zao walivyotenda.
13 Na Yehova anasema: “Kwa sababu watu hawa wamekaribia na vinywa vyao, nao wamenitukuza kwa midomo yao mitupu,+ nao wameupeleka moyo wao mbali nami,+ na woga wao kwangu ni amri ya wanadamu inayofundishwa,+