48Sikieni hili, enyi nyumba ya Yakobo, ninyi mnaojiita wenyewe kwa jina la Israeli+ na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,+ ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+ na mnaomtaja Mungu wa Israeli,+ si katika kweli na si katika uadilifu.+
6 Akawaambia: “Isaya kwa kufaa alitoa unabii juu yenu wanafiki, kama ilivyoandikwa,+ ‘Watu hawa huniheshimu mimi kwa midomo yao, bali mioyo yao iko mbali nami.+