Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 48:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Sikieni hili, enyi nyumba ya Yakobo, ninyi mnaojiita wenyewe kwa jina la Israeli+ na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,+ ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+ na mnaomtaja Mungu wa Israeli,+ si katika kweli na si katika uadilifu.+

  • Yeremia 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 na hata ijapokuwa hayo yote Yuda dada yake mwenye hila hakurudi kwangu kwa moyo+ wake wote, ila kwa uwongo,’+ asema Yehova.”

  • Yeremia 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hata wakisema: “Kama anavyoishi Yehova!” watakuwa wanaapa kwa uwongo mtupu.+

  • Marko 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akawaambia: “Isaya kwa kufaa alitoa unabii juu yenu wanafiki, kama ilivyoandikwa,+ ‘Watu hawa huniheshimu mimi kwa midomo yao, bali mioyo yao iko mbali nami.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki